Thursday, February 2, 2012

WATUMISHI WA IF NDANI YA BUTIAMA NA MUSOMA

Muda mwingine tunahitajika kufanya utalii wa ndani ili kufahamu rasilimali za nchi yetu, basi nasi tukaamua kutembelea 'Mwitongo' Butiama alipozaliwa muasisi wa Taifa letu Hayati Mwl. Julius K. Nyerere ili kufahamu historia na mazingiza ya Butiama.



TULIPATA NAFASI YA KUFIMA KATIKA HIMAYA YA CHIFU JAPHET WANZAGI 

Nyumba ya Mwl. Nyerere aliyokuwa akiishi mwanzoni

Mke wa Chifu Japhet Wanzagi akitoa maelezo kuhusu himaya hiyo huku mkurugenzi wa Imara Foundation akisikiliza kwa makini sana











NYUMBANI KWA CHIFU JAPHET WANZAGI 
 
Katibu Mkuu wa Kanisa la Mennonite Tanzania (KMT)  Jumanne Magiri na Mke wa Chifu wakiteta jambo fulani



BARAKA ZA WAZEE NI MUHIMU SANA 

" Leo nitawabariki kila mmoja wenu haya karibuni sana wajukuu zangu"





KARIBU MWITONGO WANA IMARA FOUNDATION 


Watumishi wa IF wakiongozwa na mdada ili kupata maelezo kamili ya Mwitongo.


Humu ndipo alipo lala Mwl. Nyerere



 KILA MTUMISHI ANA HAMU YA KUPATA KUMBUKUMBU NZURI 



 MWENGE WA UHURU ULIWASHWA HAPA










TULIPATA NAFASI YA KUWEKA MASHADA KWENYE KABURI LA MWL. NYERERE

Mkurugenzi wa IF Loti Misinzo na Samwel Mewama wakiweka shada la maua katika kaburi


 TULIPATA NAFASI YA KUTOA MAOMBI YETU 








BAADA YA UTALII TULIPATA FURSA YA KUONGEA NA KIJANA WA NYERERE (MADARAKA NYERERE)


Madaraka Nyerere akisiliza presentation yetu toka kwa Mkurugenzi wa IF




BAADA YA MAZUNGUMZO YA DAKIKA 20 HIVI TULIPIGA PICHA YA PAMOJA
 

 TUPO MUSOMA BAADA YA BUTIAMA (TEMBO BEACH)












ILIKUWA SAFARI YA MAFUNZO SANA KWANI ILIONGEZA ELIMU YA MAMBO MENGI KWA WATUMISHI NA KULETA HARI NA NGUVU MPYA YA KUHUDUMIA JAMII.

"SIMAMA PAMOJA KATIKA JAMII"

No comments:

Post a Comment